FastSaying

Kitu cha kwanza kufanyika mwanadamu anapozaliwa ni kuvuta pumzi ya kwanza katika mapafu ya mwili wake. Cha mwisho kufanyika kabla ya kufa ni kutoa pumzi ya mwisho katika mapafu ya mwili wake. Pumzi iliyoingia kwanza baada ya kuzaliwa, itakuwa ya mwisho kutoka kabla ya kufa. Pumzi ni bora kuliko muda halafu pumzi ni uhai. Bila uhai watu hawataweza kusherehekea mwaka mpya au kufanya chochote. Likumbuke jina la Mwenyezi Mungu katika kila pumzi unayoingiza na kutoa.

Enock Maregesi

Enock Maregesi

almightybodybreathcelebrationscheerfulnessdieingfirst-breathgodhumanhuman-beingjoyfulnesslast-breathlifelivinglungsname-of-godnew-yeartimeyear

Related Quotes

Mwaka mpya ukifika watu husherehekea kwa vifijo na nderemo! Pumzi ikifika hawasherehekei. Kwa nini?
— Enock Maregesi
breathcelebrationscheerfulness
We, human beings, have a limited number of breaths. We don’t do it endlessly. It is biologically impossible.
— Rayan Black
Human Being Breath Biology
A human being is only breath and shadow.
— Sophocles
BeingBreathHuman
Injili tunayohubiriwa haina ugumu wowote. Mungu anatutaka tuamini na tunapoamini, tunapopata ufahamu na kuamini kuwa Mwana wa Mungu alikuwa binadamu kama sisi ili sisi tupate kuokolewa, upofu wetu wa kiroho unaanza kuondolewa.
— Enock Maregesi
binadamublindnessgod
Trees breath just like we do, and their lungs were tainted by all this bad air.
— Dave Phillips
AirBreathLungs