FastSaying

Usiangalie nyuma kujutia vitu ulivyovifanya, angalia nyuma kujifunza kutokana na makosa uliyofanya.

Enock Maregesi

Enock Maregesi

backbeginningbookchapterendforthlearnmistakespageregret

Related Quotes

Mwisho wa sura si mwisho wa kitabu. Fungua ukurasa mwingine.
— Enock Maregesi
beginningbookchapter
Kolonia Santita ina sura 8 na kila sura ina faslu 3.
— Enock Maregesi
24332
Majina ya vitabu yanapaswa kuchaguliwa kwa mantiki na kwa makini ya hali ya juu mno, kwa sababu ni miongoni mwa vitu vya kwanza watu wanavyoviona na kuvisoma. Watu wakivutiwa na jina la kitabu, au mwandishi; kitu cha pili watakachovutiwa kuangalia ni dibaji, kusudi wasome muhtasari wa kitabu kizima. Kwa hiyo dibaji inapaswa iandikwe kwa mantiki na kwa makini ileile iliyotumika katika kuchagua jina la kitabu. Lengo la jina la kitabu na dibaji ni kuishawishi hadhira kusoma kitabu na kukifurahia.
— Enock Maregesi
audienceaudiencesbook
Lengo la jina la kitabu ni kuishawishi hadhira kusoma dibaji, na lengo la dibaji ni kuishawishi hadhira kusoma salio la kitabu kizima.
— Enock Maregesi
audiencebook-titlebooks
Ukikosana na mwanamke usimpige mchana. Mpige usiku. Ukimpiga mchana watu watasema umemwonea. Ukimpiga usiku watu watasema huenda alikuwa na makosa. Wanawake hawatakiwi kupigwa.
— Enock Maregesi
makosamchanamistakes