FastSaying

Kuwa teja wa mafanikio.

Enock Maregesi

Enock Maregesi

addictmafanikiosuccessteja

Related Quotes

Amani ya moyo ndicho kipimo cha mafanikio yetu.
— Enock Maregesi
amaniheartkipimo
Kama huna mama, kama mama yako alishafariki, au kama yupo lakini hakujali, hata kama baba yako yupo au hayupo, mafanikio yako yatatokana na juhudi zako mwenyewe.
— Enock Maregesi
babadiligenceeffort
Ukitaka kutambulika usione aibu.
— Enock Maregesi
aibube-recognizedcontempt
Kuna mafanikio ya aina mbili hapa duniani: Mafanikio ya Shetani na mafanikio ya Mungu. Mafanikio ya Shetani ni rahisi kupata na ni ya kitumwa. Mafanikio ya Mungu ni magumu kupata lakini ni ya hakika. Mungu akikubariki, pesa inaongezeka kama inavyoongezeka saa.
— Enock Maregesi
duniaeasygod
Ukiwa na mafanikio ya Shetani hayo si mafanikio ya kweli. Ukiwa na mafanikio ya Mungu hayo ndiyo mafanikio ya kweli. Mafanikio ya kweli hayatokani na NINI unacho. Mafanikio ya kweli yanatokana na NANI unaye. Yesu Kristo alikuwa maskini, hakuwa na kitu; lakini alikuwa tajiri, alikuwa na Mungu ndani ya moyo wake.
— Enock Maregesi
godheartjesus-christ