FastSaying

Ukitaka kutambulika usione aibu.

Enock Maregesi

Enock Maregesi

aibube-recognizedcontemptdharauheshimamafanikiorespectscornshamesuccesstambulika

Related Quotes

Kuwa teja wa mafanikio.
— Enock Maregesi
addictmafanikiosuccess
Ukiajiri ndugu usimwonee aibu! Namna hiyo ajira yake haitaathiri nguvu ya mamlaka yako.
— Enock Maregesi
aibuajiraemployment
Wanawake wenye umri wa miaka kumi na nane hadi ishirini na mbili wanaweza kutawaliwa. Ishirini na mbili hadi ishirini na nne wanaweza kukuumiza. Ishirini na nne hadi ishirini na saba unaweza kuweka malengo nao yenye natija. Ishirini na saba hadi thelathini watakuchunguza sana na hawatakupenda kutoka moyoni. Thelathini hadi thelathini na tano wamejawa na dharau za kijinga. Thelathini na tano hadi arobaini na mbili watakung’ang’ania kupoza hasira za huko walikotoka. Tofauti na wanawake wenye umri wa miaka kumi na nane hadi ishirini na mbili, na wanawake wenye umri wa miaka ishirini na nne hadi ishirini na saba, wengine wote ni kubahatisha.
— Enock Maregesi
angerbenefitcontempt
Amani ya moyo ndicho kipimo cha mafanikio yetu.
— Enock Maregesi
amaniheartkipimo
Kama huna mama, kama mama yako alishafariki, au kama yupo lakini hakujali, hata kama baba yako yupo au hayupo, mafanikio yako yatatokana na juhudi zako mwenyewe.
— Enock Maregesi
babadiligenceeffort