FastSaying

Maskini hajali wewe ni nani. Anajali utu ndani ya moyo wako.

Enock Maregesi

Enock Maregesi

humanitymaskinimoyonanipoorutuwewewhoyou

Related Quotes

Ukiwa na mafanikio ya Shetani hayo si mafanikio ya kweli. Ukiwa na mafanikio ya Mungu hayo ndiyo mafanikio ya kweli. Mafanikio ya kweli hayatokani na NINI unacho. Mafanikio ya kweli yanatokana na NANI unaye. Yesu Kristo alikuwa maskini, hakuwa na kitu; lakini alikuwa tajiri, alikuwa na Mungu ndani ya moyo wake.
— Enock Maregesi
godheartjesus-christ
Mungu anataka nini zaidi kutoka kwako? Anakutaka wewe.
— Enock Maregesi
godmunguwewe
Maskini hana nidhamu ya mapato na matumizi. Tajiri ana nidhamu ya mapato na matumizi.
— Enock Maregesi
disciplineexpendituremapato
Maadui ni wazuri kuliko marafiki na mashabiki ni wazuri kuliko maadui. Maadui wanakusaidia kujua wewe ni nani na kwa nini uko hapa. Ukishajua wewe ni nani na kwa nini uko hapa, hakuna mtu atakayekuzuia kufanya chochote unachokiamini zaidi na kukifanya. Chochote unachokiamini zaidi na kukifanya ndicho Mungu alichokupangia kufanya hapa duniani, na kwa sababu hiyo utapata maadui. Ili utoke lazima uwe na mashabiki, marafiki na maadui.
— Enock Maregesi
betterdunianienemies
Hufanani na yoyote katika dunia hii. Unafanana na wewe mwenyewe. Usimdharau mtu, humjui!
— Enock Maregesi
animalanydharau